Matthew 24:29

Kuja Kwa Mwana Wa Adamu

(Marko 13:24-31; Luka 21:25-33)

29 a “Mara baada ya dhiki ya siku zile,

“ ‘jua litatiwa giza,
nao mwezi hautatoa nuru yake;
nazo nyota zitaanguka kutoka angani,
na nguvu za anga zitatikisika.’
Copyright information for SwhNEN